POOL PARTY

POOL PARTY

Friday, February 28, 2014

WEMA SEPETU AKIRI KUNENEPA SABABU YUPO KIMAPENZI NA MTU AMPENDAYE KULIKO WOTE


Jana katika Kipindi cha leo Tena Mwanadada Wema Sepetu Aliulizwa kwanini Siku hizi ananenepa sana kiumbo na Mwanadada huyo mrembo alijibu moja kwa moja kuwa ananenepa kwa sababu ana amani ya moyo kwa vile yupo na mtu kimapenzi ampendaye kuliko wote duniani...Nadhani wote mnamjua ni nani?  Mapenzi raha Bwana asikwambie mtu ukimpata akupendaye na wewe anakupenda lazima unenepe

No comments:

Post a Comment