POOL PARTY

POOL PARTY

Thursday, February 20, 2014

UGANDA YAPIGA MARUFUKU UVAAJI WA VIMINI NA MAVAZI YA NUSU UCHI ATAKAYE KUTWA FAINI JELA MIAKA 10

Rais wa Uganda Yoweri Musen Amesign Mswada wa kuzuia wanawake kuvaa nguo fupi zijulikanazo kama vimini ama nguo zozote za nusu uchi, Kuanzia sasa mtu yoypte atakaye kutwa amevaa hivyo atachukuliwa sheria ikiwemo adhabu ya kufungwa jela miaka 10 mpaka 15 ...Je unaonaje na kwetu Tz ikiletwa Adhabu Hii Maana daaaa Kumezidi?/

No comments:

Post a Comment