POOL PARTY

POOL PARTY

Monday, February 24, 2014

Huddah na msanii Colenel Mustapha watangaza kuwa na uhusiano wa kimapenzi

 Aliekuwa mshiriki wa BBA 2013 Huddah Monroe na Msanii wa kitambo kutoka Kenaya Colonel Mustapha wametangaza kuwa na uhusiano wa kimapenzi.
katika kipindi "Kiti moto" kinachorushwa na televishen ya KTN, Hudda na Mustapha wamesema wapo katika uhusiano lakini wanaangalia utawafikisha wapi....Wasikilize na kuwatizama hapa chini 

No comments:

Post a Comment