POOL PARTY

POOL PARTY

Monday, February 24, 2014

Kipindi cha Ndoto za Kitaa kinaanza kuonekana leo clouds tv kuanzia saa tatu usiku.

Akizungumza leo asubuhi kupitia kipindi cha Power Breakfast cha clouds fm,Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba alisema kuwa kipindi hicho kitaonyesha mchakato mzima wa mwanzo wa kutafuta washindi wa idea bora ambapo barua zilikuwa 2000 zikachujwa hadi zikapatikana barua 100 mwisho wakapatika washindi 30 ambapo washindi hao ndiyo watakaoanza kuonekana kwenye kipindi hicho.Ambapo aliongeza kuwa kipindi hicho kitakuwa na majaji na kitaenda kwa muda wa miezi miwili kuanzia leo,ambapo watazamaji watapata fursa ya kuingia ubia na mshiriki ambaye atakuwa amevutiwa na idea yake na kuchukua wazo lake.

No comments:

Post a Comment