POOL PARTY

POOL PARTY

Tuesday, February 25, 2014

HATIMAYE MTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU AKATWA MGUU NCHINI INDIA

Mtoto mwenye uvimbe wa ajabu, Hamis Liyuga akiwa anaandaliwa kupelekwa katika chumba cha upasuaji.
Hamis Liyuga akipelekwa katika chumba cha upasuaji.
...Akiwa ndani ya chumba cha upasuaji.
...Akiwa chini ya uangalizi wa madaktari.
Mwandishi wa Global Publishers, Imelda Mtema (kushoto) aliyeambatana na mtoto Hamis Liyuga nchini India.

No comments:

Post a Comment