POOL PARTY

POOL PARTY

Tuesday, February 25, 2014

Nyota Ndogo asikitishwa na Colonel Mustapha amwambia anayoyafanya ni upuuzi

Hit maker wa wimbo "Watu Na Viatu" kutoka Mombasa "Nyota Ndogo" ameonyesha kusikitishwa na vitendo vya hivi karibuni vinavyofanywa na msanii kutoka Lenga Street Kenya  Colonel Mustapha, ikiwemo kitendo cha kupiga picha na msichana anaenokena akiwa hajavaa nguo (Uchi).
Kupitia mtandao wa twitter Nyota Ndogo ameonyesha kusikitishwa kwake na kumuamndikia maneno makali Mustapha akisema  
“umri wako hauambatani na vituko unavyo vifanya kwaivyo rudi nyuma ubadilishe.shame on you.wewe hufai kuitwa kioo.”





Tayari mimi ni baba RT






babake nani?maskini huyu mtoto namuonea uruma.ebu jirekebishe kwaajili yake








mustafa umri wako hauambatani na vituko unavyo vifanya kwaivyo rudi nyuma ubadilishe.shame on you.wewe hufai kuitwa kioo

Kioo rafiki yangu ameimba nyimbo inaitwa kioo RT

umeshindwa kuandika nyimbo?kwaivyo unao bora utafute visangaa?vinakupa sifa but unapata nini zaidi ya sifa hizo?hela kitandani?

huyu mustafa hafai kuitwa kioo chajamii kabisa.umri wake na vituko vyake tafauti kabisa.uzee unaingia bado afanya mambo ya kitoto.shame

sasa mimi nakwambia mustafa.hicho kioo kilichoimbwa na rafiki yako kitumie kujiangalia.umri unakwenda

Nyota ndogo amekasirika RT

MUSTAFA ANACHOKIFANYA HADHARANI ANASTAILI KUREKEBISHWA HADHARANI

hii yake samahani kusema lakini sio kioo cha jamii ila kio cha utupu.

UNANIFANYIA STIZAI MIMI?NAOMABA UPIGE PICHA NA KICHUPI PEKEAKE,NTAKUJUA WEWE NI MUME KWELI.

ALAFU PIA UGEUKE NA NYUMA TUKUONE KISHTOBE CHAKO.SAWA SAWA NA UNAVYOFANYA WANAWAKE.NTAKUONA MUME KWELI


mimi nimekuvua nguo wewe.heshima yangu kwako hamna tena.samahani lakini.sijui utaoa nani.

wacha nikachukue wanangu shule.mustafa nakupenda kama kakangu kaa ufikirie sana utajua naonge yakujenga.usivue watoto wawatu nguo.

No comments:

Post a Comment