POOL PARTY

POOL PARTY

Wednesday, February 26, 2014

OSTAZ JUMA AMZALILISHA MWANAMUZIKI PNC..SIJAPENDA HATA KIDOGO...NAKUCHUKIA OSTAZ JUMA


Nimekutana na hii picha ambayo inasemekana Mwanamuziki PNC alikwenda kuomba msamaha kwa Boss wa Watanashati Bwana Ostaz Juma , Lakini Boss huyo akampiga picha PNC akiwa anaomba msamaha kwa magoti na kuipost hiyo picha kwenye mtandao wa kijamiii.....Huu ni udhalilishaji sana aiseee ....Sijapenda kabisa ikichukulia namjua PNC toka akiwa Mjini Mwanza na Maisha yake yalivyo ..Its so sad jamani ....Toa Maoni yako kama ni Sahihi ama Alikosea  

No comments:

Post a Comment