POOL PARTY

POOL PARTY

Sunday, February 23, 2014

BENDI YA EXTRA BONGO IMEZINDUA ALBAMU YAKE YA ‘MTENDA AKITENDEWA’ DAR LIVE

Kiongozi wa Extra Bongo, Ally Choky (kushoto) na Muumin Mwinjuma wakiimba kwa pamoja katika uzinduzi wa albamu ya Mtenda akitendewa usiku huu Dar Live....Banza Stone mmoja wa vivutio.
...Ally Choky (kushoto) na Banza Stone.

Bendi ya Extra Bongo imezindua albamu yake ya ‘Mtenda akitendewa’ hivi punde katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakheem jijini Dar ambapo maelfu ya mashabiki wamehudhuria!

No comments:

Post a Comment