POOL PARTY

POOL PARTY

Friday, February 21, 2014

BAADA YA KUANDIKA NA KUCHAPISHA MAKALA YAKE YA THAMANI YA SANAA NI KIKI, KALAMU YA NIKKI WA PILI AJIPANGA KUCHAPISHA MAKALA NYINGINE WIKI IJAYO KATIKA UKURASA WAKE WA FACEBOOK

Katika makala ya awali Nikki wa Pili alihoji nini msingi wa sanaa kuonekana rahisi, na umaarufu kuwa ndiyo inspiration kwa wasanii wachanga na sio usanii bora.Pia Nikki alijitolea mfano yeye wakati anaanza game alianza kuperform sana kwenye concert kabla ya kukimbilia kurekodi akawa anajiuliza kwanini shooo za diamond jubilee hazipo tena, na siku hizi show za club ni mpaka wawepo wasanii kibao ndo watajaza na maranyingine wanaweza kula za uso pia, sasa kuna maswali nikki aliyauliza na alitaka kujibiwa na wasomaji wa makala hiyo

No comments:

Post a Comment