POOL PARTY

POOL PARTY

Friday, February 28, 2014

AKON ASAIDIA BARA LA AFRIKA KWA KUSAMBAZA UMEME KWA MAKAZI ZAIDI YA MILL.1

Si kuamua tu kuongelea suala la kumiliki mke zaidi ya mmoja, kama vile King Mswati.
Staa wa muziki wa Kimataifa,Akon kutoka pande za Senegal ameamua kuligeukia Bara la Afrika na kutoa msaada unaostahili akishirikiana na makampuni yaliyojitolea katika kampeni hiyo iitwayo Akon Lighting Africa.Kwenye mradi wa mazingira wa kusambaza umeme kwenye makazi ya watu barani Afrika.
Inasemekana kwamba mradi huo ambao umekadiriwa kwamba mpaka itakapofika 2015 makazi zaidi ya million 1 barani Afrika yatakuwa yamepatiwa umeme kupitia mradi huo wa kusambaza umeme wa sola.
Tayari ameshatembelea nchi zaidi ya nne kwa ajili ya mradi huo ikiwemo Senegal, Mali, Guinea na Burkina Faso.

No comments:

Post a Comment