Na kuongeza kuwa kuliko kuzuia nyimbo na video za nyumbani ambazo uchafu wake haufikii hata robo ya uliopo kwenye Nyimbo zinazopewa kipaumbele toka nje... Hii ni sawa na kuzidi kuukuza muziki wa nje huku tukiudidimiza na kuua mziki wetu... Will the target of reaching our goals ever be achieved?
POOL PARTY

Wednesday, March 26, 2014
Diamond aishauri serikali kuzifungia kwanza video na nyimbo kutoka nje ya nchi kwani zina uchafu zaidi kuliko video za wasanii wa hapa Bongo
Na kuongeza kuwa kuliko kuzuia nyimbo na video za nyumbani ambazo uchafu wake haufikii hata robo ya uliopo kwenye Nyimbo zinazopewa kipaumbele toka nje... Hii ni sawa na kuzidi kuukuza muziki wa nje huku tukiudidimiza na kuua mziki wetu... Will the target of reaching our goals ever be achieved?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment