Chris Brown mwenye miaka 24 baada ya maamuzi hayo ya mahakama ali-tweet “Never really goes the way u plan. #LIFE”.
Chris Brown anategemea kutoa The X album tarehe 5 mwezi 5 lakini wasiwasi unakuja kama muda huo wa miezi miwili utaathiri utoaji wa album hiyo ambayo ilitakiwa kutoka tangu mwaka jana.
No comments:
Post a Comment