POOL PARTY

POOL PARTY

Wednesday, July 31, 2013

MONALISA AGOMA KUOLEWA TENA BAADA YA NDOA TANO KUVUNJIKA


Msanii mkongwe  kwenye  soko  la  filamu  Tanzania,Yvonne Cherry "Monalisa"  amesema  hatarajii  kuolewa  tena  baada  ya  kuvunjika  kwa  ndoa  zake  kadhaa  ikiwemo  ile  ya  producer  Tyson....

Akisimulia  mikasa  ya  maisha  yake  mbele  ya   mwandishi  wetu,Monalisa  aliema  kuna  siku  walipokuwa  kwenye  kikao  cha  sendoff  ya  mama  yake, alitania  na  kusema  ataolewa  disemba  lakini  hakuwa  serious....

"Sina  mpango  wa  kuolewa  kabisa,kwanza  sina  mchumba, ntaolewaje?

"Siku  ile  nilikuwa  natania  tu kwa  sababu  sipo  tayari  kuolewa  na  kuachika  tena"..Alisema  Monalisa

No comments:

Post a Comment