POOL PARTY

POOL PARTY

Monday, July 22, 2013

ALIYEIBA MUME WA MTU MBAGALA NAYE AIBIWA MUME HUYO HUYO NA AJUZA


Waswahili wanasema Ukstaajabu ya Musa utaona ya FIlauni!ni kwelii ndugu zangu!yametokea na muda huu ninaoandika ndivyo ilivyo!!
Hali ilikuwa ivi mdada cheupe dawa toka kanda ya juu,alinogewa na penzi la baba mwenye familia yake huko pande za MBAGALA KIASI CHA KUMFANYA Baba huyo kuisahauu kabisa familia yake ya mke na watoto wawili nae kwa kujiona mjanjaa sana akamdhibiti na maisha yakaendelea,huku nyuma mama wa watu akiwa ameachwa na watoto wawili na mimba juu siku ilipofika ya kujifungua hakupata msaada wowote ule na hata alipokuwa anapiga simu kuitaji mssda toka kwa mzazi mwenziwe alijibiwa kwamba hana pesa na ajitahidi tu mwenyewe aende hospitali,majirani mwenye utu na mioyo yahuruma wakajichanga na kumkimbiza hospitalini mama yule!lakini riziki haikuwa upande wake Mungu akampenda zaidi akiwa na mtoto tumboni kwa maana kwamba alicheleweshwa! Baba akapwa taarifa,kwa aibu akaenda nyumbani kwa jili ya mazishi lakini ndugu majirani walimwacha azike mwenyewe!!!
Baada ya mkasa huo akarudi kule alikokuwa amempangisha Cheupe dawa wake ili kuendelea na maisha,maisha yakaenda akamzalia wana wawili na baada ya muda Baba sasa yupo kwa penzi Zito na jimama lenye pesa zake.kahama kwake na mazimaa yupo kwa huyo jimama na jimama alivyo na jeuri ya pesa anampa kila kitu Baba huyo asiye na soni wala haya na kinachomfanya huyo dada aliye ni ile hali ya jimama hilo kumwita msamba na kwamba kama yeye mwanzo alimwiba basi atulie sasa ni zamu yake na hata inapotokea BABA huyo yupo kwake humpigia simu cheupe dawa na kusema nipo na mumeo sasa we ulie tuuu!....Cheupe dawa hana kazi alikuwa akimtegemea kila kitu BABA maana kwa mujibu wake mama huyo keshampachika jina baba huyo kwamba ni BONGE LA BWANA!
uNAAMBIWA HALI NI tata cheupe dawa aanatelekezwa na wanawe wawili na mmoja aliyekutwa naye jumla watatu na yule Bonge la bwana keshatangaza kumuowowa BONGE LA MAMA ..huku nyuma cheupe dawa anatembea na kisu popte aaatakapowakuta ama zake ama zao!!!jamani chondechonde mwenye no ya Gea HABIBU atoe ili anusuru uhai hii jamani si uongoooooooooooo!! ni true story hata anavyotusimulia mwenyewe ni kama vile kasahau yeye alivyomtenda mwenzake!''
Je wanawake hii mnaionaje?toeni maoni ushauri gani apate ili asije ozea jela mana kinachomuuma zaidi ni huyo BONGE
LA BWANA KUHEHUKA NA PENZI LA HUYO MAMA NA KUMWELEZEA KILA KITU KINACHOFANYIKA PINDI WANAPOKUWA CHUMBANI..SASA KISASI CHA HUYU dada kipo kwa huyoooo BONGE LA MAMA!
SOURCE.....ALIYEPORWA MUME!

No comments:

Post a Comment