POOL PARTY

POOL PARTY

Tuesday, July 23, 2013

AMA KWELI UTENGENEZAJI WA MOVIE HAPA TZ UMEKUA! HEBU MCHEKI MLIMBWENDE HUYU KUTOKA BONGO MOVIE AJIFUA KWA MAANDALIZI YA MOVIE MPYA! KISASA ZAIDI!!!!

 MSANII kutoka Bongo Movie mwana dada ''Nisha bebee'' Ambaye ni mmoja kati ya wasanii wa kike wanao miliki kampuni ya movie hapa nchini,
Akiwa mazoezini anasema baada ya kufanya vizuri kwenye pusi na paku na tikisa sasa wadau wake wakae mkao wa kula kuipokea filamu mpya hivi karibuni ataingia kambini. aliongea na Masai Nyotambofu Blog leo asubuhi 23/JULY/2013.

No comments:

Post a Comment