Akizungumza na wanahabari, Profesa Anna alisema: “Sioni sababu ya kujiuzulu kwa sababu mimi sio mtumishi wa wizara hiyo (Nishati na Madini), nilichopokea mimi ni msaada wala sijaona kitu kibaya zaidi ya kufurahia msaada huo ambao unasaidia shule ya watoto kike kama ninavyoomba na kupewa na watu wadau wengine kama Reginald Mengi.”Kujua mengi tembelea www.globaltvtz.com
POOL PARTY

Thursday, December 18, 2014
PROFESA TIBAIJUKA: SINA SABABU YA KUJIUZULU
Akizungumza na wanahabari, Profesa Anna alisema: “Sioni sababu ya kujiuzulu kwa sababu mimi sio mtumishi wa wizara hiyo (Nishati na Madini), nilichopokea mimi ni msaada wala sijaona kitu kibaya zaidi ya kufurahia msaada huo ambao unasaidia shule ya watoto kike kama ninavyoomba na kupewa na watu wadau wengine kama Reginald Mengi.”Kujua mengi tembelea www.globaltvtz.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment