Sehemu ya jeneza la marehemu Karenga.…
Karenga aliwahi kutamba na nyimbo nyingi ukiwemo ya Dada Asha, ambao ulivuma sana Afrika Mashariki na Kati.Mazishi hayo yalihudhuriwa na mamia ya watu wakiwemo wanamuziki.Kujua mengi tembelea www.globaltvtz.com
No comments:
Post a Comment