Baby Madaha (kushoto) akipozi na Isabella Mpanda 'Bella' ndani ya studio za Global TV Online leo.
Baby Madaha katika pozi ndani ya Global TV Online kabla ya interview.…
Baby Madaha (kushoto) akipozi na Isabella Mpanda 'Bella' ndani ya studio za Global TV Online leo.
Baby Madaha katika pozi ndani ya Global TV Online kabla ya interview.
Bella naye akitupia pozi kabla ya kuanza interview na Global TV Online leo.
Bella na Madaha wakipozi na Walusanga Ndaki wa Global baada ya interview.
Bella na Madaha wakiwa na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul.
Warembo hao wakipozi na Erick Evarist ambaye ni Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi.
WASANII Isabella Mpanda na Baby Madaha leo wametimba ndani ya studio za Global TV Online na kufanya interview.
Miongoni mwa mambo waliyoeleza ni pamoja na maandalizi ya shoo yao ya
Boxing Day itakayofanyika katika Ukumbi wa Burudani wa Dar Live,
Mbagala-Zakheem, Dar.
Mastaa hao wamesema wamejipanga kutoa burudani ya kufa mtu siku hiyo na kuwataka mashabiki wao wahudhurie kwa wingi siku hiyo.
Mbali na shoo, pia wamefunguka mambo kibao yakiwemo mahusiano yao,
maisha kwa ujumla, projects zao mbalimbali kimuziki na mengineyo.
Video
iliyosubiriwa kwa muda mrefu na mashabiki wa Ali Kiba ‘Mwana’itaanza
kuonyeshwa ijumaa ya 19 Decemba 2014. Ali Kiba amethibitisha kuwa video
imekamilika kwa kutoa kionjo cha video hio na kusema ‘Videoimetayarishwa
na muongozaji kutoka Afrika Kusini na imefanyika maeneo ya mjii wa Cape
Town” . Vituo vitakavyo rusha hii video
Cameroon, Ethiopia, Angola, U.S. & U.K. itachezwa kwenye vituo vya 1Musicnetworks.
Nigeria na Ghana itachezwa kwenye kituo cha SOUNDCITYtv.
Uganda itachezwa kwenye kituo cha NTVUganda.
Kenya itachezwa kwenye kituo cha Citizen Tv kwenye kipindi cha Mseto.
Mlinzi kutoka jeshi la Uganda Hawa askari tuliwaona wakati Diamond Platnumz amewasili Uganda na kupokelewa Airport kwa mbwembwe sana.
Kumbe ulinzi wao uliendelea mpaka siku ya sho ambapo mmoja wao aliwekwa
Nje ya chumba cha Diamond na Zari. Ni Mlinzi kutoka jeshi la Uganda
akilinda usalama Wa@diamondplatnumz na @zarithebosslady Hii picha akiwa nje ya chumba akiwasubiri wakati wakijiandaa.
Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' akiwekwa sawa kabla ya shoo yake ya All White Ciroc party iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Guvnor nchini Uganda.
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (kulia) akiwa na Zari au 'The Boss Lady' kabla ya kuelekea katika shoo.…
Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' akiwekwa sawa kabla ya shoo yake ya All White Ciroc party iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Guvnor nchini Uganda.
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (kulia) akiwa na Zari au 'The Boss Lady' kabla ya kuelekea katika shoo.
The Boss Ladyakiwa katika pozi.
Diamond Platnumz na The Boss Lady wakitoka hotelini.
... Wakipanda gari.
Umati wa watu waliojitokeza katika shoo yaAllWhite Cirocparty usiku wa kuamkia leo.
Diamond Platnumz (kushoto) na The Boss Lady wakipiga picha nje ya Ukumbi wa Guvnor.