POOL PARTY

POOL PARTY

Wednesday, December 17, 2014

SPIKA MARGARET ZZIWA ASIMAMISHWA


HATIMAYE Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk. Margaret Zziwa (pichani) amesimamishwa wadhifa huo baada ya wabunge wa bunge hilo kumpigia kura. Apewa saa 24 kukabidhi ofisi ya bunge.

No comments:

Post a Comment