POOL PARTY

POOL PARTY

Friday, December 19, 2014

BELLA, BABY MADAHA WATINGA GLOBAL TV ONLINE, WAELEZEA WALIVYOJIPANGA KWA SHOO YAO YA BOXING DAY DAR LIVE


Baby Madaha (kushoto) akipozi na Isabella Mpanda 'Bella' ndani ya studio za Global TV Online leo.
Baby Madaha katika pozi ndani ya Global TV Online kabla ya interview.…
Baby Madaha (kushoto) akipozi na Isabella Mpanda 'Bella' ndani ya studio za Global TV Online leo.
Baby Madaha katika pozi ndani ya Global TV Online kabla ya interview.
Bella naye akitupia pozi kabla ya kuanza interview na Global TV Online leo.
Bella na Madaha wakipozi na Walusanga Ndaki wa Global baada ya interview.
Bella na Madaha wakiwa na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul.
Warembo hao wakipozi na Erick Evarist ambaye ni Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi.
WASANII Isabella Mpanda na Baby Madaha leo wametimba ndani ya studio za Global TV Online na kufanya interview.
Miongoni mwa mambo waliyoeleza ni pamoja na maandalizi ya shoo yao ya Boxing Day itakayofanyika katika Ukumbi wa Burudani wa Dar Live, Mbagala-Zakheem, Dar.
Mastaa hao wamesema wamejipanga kutoa burudani ya kufa mtu siku hiyo na kuwataka mashabiki wao wahudhurie kwa wingi siku hiyo.
Mbali na shoo, pia wamefunguka mambo kibao yakiwemo mahusiano yao, maisha kwa ujumla, projects zao mbalimbali kimuziki na mengineyo.

No comments:

Post a Comment