POOL PARTY

POOL PARTY

Monday, December 15, 2014

ROLENE STRAUSS WA AFRIKA KUSINI ASHINDA TAJI LA MISS WORLD 2014


Miss World 2014, Rolene Strauss wa Afrika Kusini.…

Miss World 2014, Rolene Strauss wa Afrika Kusini.
Miss World 2014, Rolene Strauss akipozi na mshindi wa pili Edina Kulcsar wa Hungary na Elizabeth Safrit wa Marekani aliyekuwa mshindi wa tatu.
Washereheshaji wa shindano hilo Miss World 2013, Megan Young akiwa na mtangazaji wa Tim Vincent.
Washiriki wakicheza katika mavazi ya mataifa yao jana katika fainali za Miss World 2014 jijini London.
Miss Mongolia Battsetseg Turbat akifanya yake stejini.
 Miss Bolivia, Andrea Forfori Aguilera akifanya yake stejini.
Miss Gabon, Miss Ethiopia, Miss Curacao na Miss Chad stejini.
Rolene Strauss wa Afrika Kusini ameshinda taji la Miss World 2014 jijini London usiku huu, Edina Kulcsar wa Hungary akishika nafasi ya pili na Elizabeth Safrit wa Marekani akichukua nafasi ya tatu.
Rolene ana umri wa miaka 22, ni mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya udaktari na anapendelea kucheza michezo ya golf, netiboli, kuendesha baiskeli na kujisomea vitabu vya burudani na elimu.
Washindi walioingia Tano Bora mwaka huu walikuwa kutoka Uingereza, Marekani, Hungary, Australia na Afrika Kusini.

No comments:

Post a Comment