POOL PARTY

POOL PARTY

Wednesday, December 17, 2014

MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA MWANAMUZIKI SHEM KARENGA

Sehemu ya jeneza la marehemu Karenga.…

Sehemu ya jeneza la marehemu Karenga.
Mwili ukisitiliwa kaburini.
Umati uliojitokeza katika mazishi.
Mtoto wa Karenga aitwaye Karenga (kushoto) akiwa na mmoja wa wanandugu.
Baadhi ya wanamuziki waliohudhuria mazishi hayo.
HATIMAYE mwili wa aliyekuwa mwanamuziki mkongwe nchini na nje ya nchi, Shem Karenga,  umezikwa jana katika makaburi ya Kisutu, jijini Dar e Salaam.
Karenga aliwahi kutamba na nyimbo nyingi ukiwemo ya Dada Asha,  ambao ulivuma sana Afrika Mashariki na Kati.Mazishi hayo yalihudhuriwa na mamia ya watu wakiwemo wanamuziki.Kujua mengi tembelea www.globaltvtz.com

No comments:

Post a Comment