POOL PARTY

POOL PARTY

Wednesday, December 17, 2014

Rihanna atajwa kuwa mkurugenzi wa ubunifu wa Puma

Kulikuwa na tetesi kuhusu Rihanna kusaini mkataba wa mamilioni na kampuni ya sneaker "Puma" lakini sasa imekuwa rasmi.Bad gal Riri ameripotiwa kuchaguliwa kuwa mkurugenzi wa ubunifu wa Puma, kazi yake mpya ni kusimamia na kuangalia nguo na viatu vya kike vya michezo vya kampuni hiyo.
on the dotted line. #PUMA
Rihanna "atafanya kazi na kampuni hiyo ku-design na kutengeneza style mpya kuongeza katika bidhaa za Puma." kampuni hiyo imesema
Riri ambae pia ni balozi wa kampuni hiyo, alisafiri mpaka makao makuu ya Puma yaliyopo Herzogenaurach, Ujerumani kuwa na session yake ya kwanza ya ubunifu na timu nzima ya wabunifu, kuchagua rangi, style na kuweka mawili matatu yake kuhusu malengo na muelekeo wa line hiyo.

“Signing Rihanna is a fantastic step for Puma,” amesema chief executive officer Bjørn Gulden. “Her global profile, her charisma and individuality, her ambition – all these things make her a perfect ambassador for our brand. With a strong portfolio in football, running and motorsport, finding an inspiring partner for women’s training was very important. Rihanna was a natural choice for us. We’re delighted to have her as a partner, and we’re looking forward to what’s to come.”
Puma wameona mapato yao yanapungua kwa miaka mitatu iliyopita, kwahiyo wanatumaini kumuingiza Rihanna anaweza kubadilisha hilo
 nothing is impossible with God! Very grateful for this opportunity #puma ameandika Riri kupitia account yake ya Insta Gram

No comments:

Post a Comment