POOL PARTY

POOL PARTY

Monday, June 17, 2013

MACHANGUDOA WANAOFANYA BIASHARA YAO SINZA WAKAMATWA




Mgambo wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata Madada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao wajulikanao kama Machangudoa katika eneo la Sinza. Picha mbalimbali zikionyesha namna walivyokuwa wakipakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria

No comments:

Post a Comment