POOL PARTY

POOL PARTY

Saturday, June 8, 2013

HUU NDO UTENGENEZAJI WA BIKRA FEKI....WANAUME MSIKUBALI KUIBIWA



WANAUME,kuweni makini na Bikra feki...Wanawake wana mbinu nyingi sana za kukuingiza kingi,ndoa imekuwa mtihani kwao,wanafanya kila balaa ili wakuchote akili uingie kingi.

Ukiacha hawa wengne ambao wameamua kuwa Washirikina kwa kwenda kwa Waganga na kupewa dawa za kukukamata,kuna hawa wanawake ambao wametumika kama Bajaj ,wakikuona umekaa dizaini ya muoaji halafu una hela,utapigwa tukio mpaka ushangae.

Atajifanya descent na hajui kitu,atasingizia yeye bikira au amefanya mara moja tu.

Siku ya kufanya Mapenzi kila ukimshika anapiga kelele za kuzuga anaumia,ukishika nywele analia...ukimgusa kifua anapiga yowe kama anakeketwa,ukianza kuzama ndo kabisa,unaweza kudhani uko kwenye Msiba wa Kinyakyusa....

Utasikia taratibu,utafinywa,utapushiwa kama vile ndo unaitoa,kumbe wala.!!!

Mtu mzima unachotwa akili kumbe mwenzio kabla hajaja amekamulia Ndimu,mchanganyiko wa parachichi na tikiti maji,Sabuni ya Kaisiki na Vim ya kuondolea harufu chooni...Ukigusa unahisi bikira kumbe wala,umetegwa...

Hawaruhusu uingize kidole kwenye maandalizi hata kwa dawa utagundua... Dawa yao unakaa na beseni,akizuga unamwagia maji pale juu,litatoka vumbi hujawahi kuona hata kwenye stoo yenu ya kuku wa mayai...

JIHADHARI  na hizi bikira za makuti!

No comments:

Post a Comment