POOL PARTY

POOL PARTY

Friday, June 21, 2013

DIAMOND PLATNUMZ AKUTANA NA M 2 THE P


Diamond (kushoto) akisalimiana na Mgaza Pembe 'M2 The P'.
...Wakibadilishana mawazo.
Diamond katika pozi na…
Diamond (kushoto) akisalimiana na Mgaza Pembe 'M2 The P'.
...Wakibadilishana mawazo.
Diamond katika pozi na Mgaza Pembe 'M2 The P'.
Msanii mahiri wa Muziki wa Kizazi Kipya nchini, Nasibu Abdul 'Diamond' juzi Jumatano alikutana na rafiki kipenzi wa marehemu Albert Mangweha, Mgaza Pembe 'M2 The P' katika hoteli ya The Atrium iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam na kubadilishana mawazo. Diamond alikutana na msanii huyo wakati alipokwenda kufanya mahojiano na Sauda Mwilima wa Star TV kuhusu maandalizi ya show yake atakayoifanya kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Julai 7 mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.

No comments:

Post a Comment