POOL PARTY

POOL PARTY

Monday, October 14, 2013

TANZANIA YAANZA VIBAYA MASHINDANO YA TUSKER PROJECT FAME

Tanzania leo imeanza vibaya kwenye shindano la Tusker Project Fame msimu wa sita, baada ya washiriki wawili wanaoiwakilisha kutok


Washiriki hao ni Durbat na Tanah ambao wameungana na mshiriki wa Rwanda, Peace kuyaaga mashindano hayo. Kutokana na kuondolewa kwa washiriki hao, Tanzania imebakiza washiriki wawili tu kwenye shindano hilo.

No comments:

Post a Comment