POOL PARTY

POOL PARTY

Sunday, March 2, 2014

CHRISS BROWN AZIDI KUPATA MAJANGA..MAHAKAMA YAAMURU ARUDISHWE REHAB

Baada ya kukaa rehab kwa ajili ya anger management na msimamizi wa rehab hiyo kusema kwamba Chris Brown ameonyesha improvement, bado jaji wa kesi hiyo hakuridhika na ripoti na kumrudisha Chris Brown rehab kwa miezi miwili zaidi.
Chris Brown mwenye miaka 24 baada ya maamuzi hayo ya mahakama ali-tweet “Never really goes the way u plan. #LIFE”.

Chris Brown anategemea kutoa The X album tarehe 5 mwezi 5 lakini wasiwasi unakuja kama muda huo wa miezi miwili utaathiri utoaji wa album hiyo ambayo ilitakiwa kutoka tangu mwaka jana.

No comments:

Post a Comment