POOL PARTY

POOL PARTY

Thursday, June 5, 2014

UKIKUTANA NA MHESHIMIWA RAIS WA NCHI UTAMUELEZA SHIDA GANI?

Kwa upande wa Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz hivi karibuni alipoenda nchini Marekani alipata nafasi ya kukutana na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania,Dr Jakaya Mrisho Kikwete na alipoulizwa akamwambia shida yake ni kufanya kolabo na wasanii wakubwa, ambapo rais Kikwete alimkutanisha Diamond na mdau mkubwa wa muziki aliyewahi kuwa rais wa record label kubwa ya Def Jam, na makamu wa rais wa Island Def Jam.Mchana huu Diamond anatarajia kupaa kuelekea South Africa kwa ajili ya tuzo za MTV zinazotarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii, na alikua na haya ya kusema kwa mashabiki wake.

No comments:

Post a Comment