POOL PARTY

POOL PARTY

Monday, June 16, 2014

SUMA MNAZALETI: WASANII BONGO TUNANYONYWA SANA

Msanii anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, Suma Mnazaleti ndani ya studio za Global TV Online.
Muongozaji wa kipindi Pamela(kulia) akifanya maojiano na Suma Mnazaleti (kushoto).
Suma kwenye pozi ndani ya Global TV Online.
Na Said Ally    
MSANII anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, Suma Mnazaleti, amesema umaskini mkubwa walionao wasanii wa Bongo unatokana na kampuni ambazo zinawadhamini, kwani nyingi zimekuwa zikiwanyonya.
Suma Mnazaleti ambaye kwa sasa anatamba na Wimbo wa Mnazaleti na ule wa Mkatoliki aliomshirikisha  R.O.M.A, ‘alitia timu’ kwenye Ofisi za Global Publishers na kufanya mazungumzo kwenye Kipindi cha Mtu Kati kinachorushwa na Global TV Online.

No comments:

Post a Comment