POOL PARTY

POOL PARTY

Thursday, April 24, 2014

Wema awapoteza Lulu,Jokate,Wolper,Nelly kwenye shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2013-2014


STAA wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu ameibuka kidedea kwenye shindano la Ijumaa Sexiest Girl kwa kura 370 huku mshindi wa pili Elizabeth Michael'Lulu' akipata kura 340 akifuatiwa na Nelly Kamwelu.

Shindano hilo lilifanyika katika viwanja Dar Live ,Mbagala usiku wa kuamkia leo  na limeandaliwa na Global Publishers huku burudani ikisindizwa kutoka kwa Weusi(Nikki wa Pili,Joh Makini,G Nako) na Mkubwa na Wanae.










No comments:

Post a Comment