POOL PARTY

POOL PARTY

Thursday, April 24, 2014

People Magazine wamtangaza Lupita Nyong'o the most Beautiful Star 2014

Mwaka jana  ulikuwa ni mwaka mzuri sana kwa Lupita baada ya kupata nafasi ya kuigiza kwenye movie "12 Years A Slave". lakini mwaka 2014 unaokana kuchanua zaidi kwake kuzidi mwaka uliopita sio tu kwa kushinda tuzo ya Oscar kama "Best Supporting Actress " lakini pia Nyong'o (31) amepewa tittle na  People magazine ya kuwa the most Beautiful woman.
akiongea na magazine hiyo Lupita amesema, alipokuwa mdogo alidhani tafsiri ya mwanamke mrembo ni yule mwenye ngozi nyeupe na nywele ndefu zinazining'inia.


Ni rasmi Lupita atangazwa kuwa mwanamke mrembo wa mwaka 2014 

Lakini Lupita anajivunia kwa mafanikio yake na kuongeza kuwa, mama yake amekuwa akimwambia kuwa yeye ni mrembo na mwisho kuna muda alimuamini.
Mshindi wa Oscar pia ni kisura wa Lancome Paris, na atakuwa na busy time hasa baadaya tetesi kuwa atakuwepo pia thriller ya Who Shot The Sherriff.

People magazine pia wametoa list ya walioko kwenye top 10 ambao ni Keri Russell, enna Dewan-Tatum, Mindy Kaling,Pink, Amber Heard, Gabrielle Union, Molly Sims, na namba kumi ni  Kerry Washington.

No comments:

Post a Comment