POOL PARTY

POOL PARTY

Wednesday, September 25, 2013

Baada ya kuwatukana wasanii kibao kupitia twitter Gucci Mane arudi twitter na kuomba msamana huku akikiri kutumia madawa ya kulevya


Maneno machafu yaliyokuwa yakiandikwa na Rapper Gucci Mane kupitia mtandao wa Twitter dhidi ya wasanii mbali mbali wakubwa yaliwaacha watu wakijiuliza maswali dhidi ya afya ya akili ya Rapper huyo
 http://djfetty.blogspot.com/2013/09/gucci-mane-achafua-twitter-awadiss-kila.html

Baada ya muda Gucci alifuta tweet yake  lakini sasa hivi ameifungua upya na kuanza kutuma tweets zenye kuomba msamaha kwa ndugu, jamaa na marafiki  pamoja na mashabiki wake huku Birdman, Drake na Ricky Ross akiwataja kwa majina.

Gucci pia amekiri kuwa addicted na madawa  ya kulevya aina ya "lean" na kutangaza kuwa atajiunga na "Rehab" mara tu baada ya kutoka jela.

No comments:

Post a Comment