POOL PARTY

POOL PARTY

Monday, July 8, 2013

KUNDI LA BAIKOKO TOKA TANGA NI BALAA TUPU...WAPI TUNAKWENDA?

Hizi  ni  baadhi  ya  picha  za  kundi  la  wacheza  uchi / nusu  uchi  maarufu  kwa  jina  la  Baikoko  lenye  maskani  yake Tanga....

 
 
 
 

UMAARUFU WA WASANII WENGI WA KIKE UNATOKANA NA SKENDO ZA PICHA CHAFU


NCHI za wenzetu staa kupiga picha za utupu si kitu kigeni lakini Tanzania sheria na maadili ya Mtanzania hayaruhusu kufanya hivyo.

Pamoja  na sheria  kutoruhusu, wasanii  wetu  hasa  wa  kike  wamekuwa  wakihaha  usiku  na  mchana  kuusaka  umaarufu  wa  kujulikana  kwa  jamii  kwa  njia  za  panya,....

Wengi  wao  wamepoteza  sifa  za  uwajibikaji  na  badala  yake  wamejikita  katika  Skendo  chafu  ili  jamii  iwajue...


Hali  hii  imewafanya  wasanii  wengi  wa  kike  wawe  na  umaarufu  wa  skendo  chafu....

Miongoni  mwa  skendo  hizo  ni:



1.Kupiga  picha  za  uchi
Hili  ni  kundi  la  wasanii  chipukizi  wanaosaka  umaarufu  kwa  gharama  yoyote....Ni  skendo  ambayo  huwachafua  sana, lakini  pia  ni  skendo  ambayo  huwainua  na  kuwafanya  wajulikane.... 


Mfano  halisi  wa  wasanii  wa  kundi  hili  ni  Rayuu,Agness  Masogange, Lulu  Michael,Pendo  wa  Maisha plus

2.Kutumia  madawa  ya  kulevya
Hili  ni  kundi  la  wasanii  ambao  hutumia  madawa ya  kulevya   na  kisha  hukimbilia  katika  vyombo  vya  habari  na  kujitangaza  kwamba  ni  wavuta  bangi  na  kwamba  "hivi  sasa  wameacha"

3.Kuvaa  nusu  uchi
Hili  ni  kundi  lenye  wasanii  wengi  sana.Hawa  ni  wasanii  wenye  imani    ya  kuwa  mastaa  kwa  kuvaa  nusu  uchi  huku  mapaja  na  matiti  yao  yakiwa  wazi ...

Wahanga  wa  kundi  hili  ni  wasanii  wa  kike  ambao  sote  tunawajua.

4.Kutovaa  chupi  na  kujipitisha  mbele  ya  kamera
Hili  ni  kundi  la  wasanii  wachache  ambao  umaarufu  wao  umekwisha.Ili  kujiinua  tena  kwa  jamii, wasanii  hawa  hutumia  skendo  nzito  kama  hizi  ambazo    huifanya  jamii  istuke..!...Mfano  halisi  ni  Nakaaya.

Wednesday, July 3, 2013

Nu joint: Nikumbatie / Joe Makini feat Fundi Samweli


Joe Makini ametambulisha wimbo wake mpya leo hii "Nikumbatie" akiwa amemshirikisha producer wa wimbo huo "Fundi Samweli."
"Huu wimbo ni wa mapenzi kwasababu wakati nau-record mwanzoni mwa mwaka jana kabla Fundi hajaondoka nilikuwa katika feelings hizo, na ilikuwa nitoe mda kidogo lakini wakati nataka kuuachia Nikki akawa anatoa wimbo wake, baada ya kutoa ikawa niachie lakini kutokana na msiba wa Ngwea na Langa ikabidi nitulie kwanza na sasa naona ni wakati muafaka wa kuachia"
Joe makini pia alizungumzia habari iliyopo sasa ya Mtayarishaji mkali wa Videos za kibongo "Adam Juma" kutangaza kuacha kutengeneza videos na kuangalia michongo mingine.
"Kweli hii habari sio nzuri kwasasbabu sidhani kama kuna atakae ziba pengo lake kwa sasa, ila najipanga kushoot video ya wimbo huu wiki ijayo, na bado sijajua nani atakae fanya video ya wimbo huu". amesema Joe.

Ludacris ashtakiwa kwa kuiba wimbo "Sex Room" mwaka 2009


Rapper kutoka Atlanta, Ludacris ameshtakiwa na msanii emcee Marvo kwa kuibwa wimbo "Sex Room" aliouachia mwaka 2009. Marvo anadai yeye ndio alitoka na idea ya kwanza (2009) ya wimbo huo ambao Luda amemshirikisha Trey Songs.
Kutokana na mtandao wa AOL, Marvo alikuwa akifanya kai na producer anaeitwa Kajun ambae mwisho wa siku alimgeuka na kumpa wimbo huo Ludacris, na licha ya kumpa wimbo huo, hajapokea hela yoyote ya malipo kwa kuutumia wimbo huo, licha ya kuwa Luda ametumia mashairi yake mengi.
Kiasi cha pesa anachokidai bado hakijajulikana





"Sex Room" ni single iliyokuwa katika album ya Luda  "Battle of the Sexes"  album ambauo ameiachia hivi karibuni, na tangu kuachia album hiyo amekuwa akifanya kazi ya ku-record album mpya "Ludaversal", ambayo ana-plan kuiachia miezi kadhaa ijayo. kwasasa ameachia mixtape alioipa jina la "IDGAF" aliyoichia mwezi wa tano.
Baada ya shutuma hizo kutoka Luda  alijibu, "kusema ukweli inaonekana kama mtu mwingine anataka kutengeneza mkwanja kwa kutumia kazi ya mtu mwingine"

Baada ya Huddah kusema hana biff na Diva tweets za Diva zaonyesha hajamalizana nae

Kama utakua ni muumini wa twitter lazima utakuwa unajua kinachoendelea kati ya mshiriki wa BBA kutoka Kenya  (2013), Huddah na mtangazaji Diva Loveness love.
kiufupi ni tweef ( bif kupitia twitter) kisa kikiwa ni CMB Prezzo 
Sasa leo hii katika interview tuliyofanya na Hudda amesema hana uhusiano na Prezzo, ni rafiki yake tu, na hana beef yoyote na Diva na kwanza hamfaham.
"you know mimi hupenda kutoa maoni yangu, so saa ile mi natoa maoni yangu mtu ana-judge vingine, mi sina bif na Diva, na simjui, na kama uli-notice i only replied three times."
unajua mi niliandika "lol" after seeing her tweet calling Prezzo "baby", why? i just find it funny, so yeye ndio akawa anaandika all that" amesema Hudda
kwa inavyoonekana Diva alikua akisikiliza radio wakati interview ikiendelea, na haikumchukua dakika sifuri, akahusika twitani na kuandika 

"WASANII WA BONGO MOVIE NI WEZI WA WAUME ZA WATU" AMANDA


MSANII wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amesema anawachukia sana wasanii wa kike wa Bongo Movie kutokana na tabia zao za kuchukuliana mabwana.
Amanda alisema wasanii wengi wa filamu wana tabia za kuibiana mabwana kitendo ambacho kinamkera na kusababisha kuwachukia kwani wanavyofanya siyo heshima na inawaharibia sifa kwa jamii pamoja na kuichafua tasnia yao kwa jumla.
“Nawachukia na ndiyo maana sitaki kuwa na rafiki Bongo Movie kwa sababu wamekuwa na tabia mbaya sana mifano halisi ipo lakini siwezi kuitaja,” alisema.

Mbali na hivyo, Amanda alisema kuna wasanii wawili wa kike walikuwa marafiki sana hata kwenye mitandao walikuwa wakiitana mawifi lakini hivi sasa hawaivi, kisa kunyang’anyana bwana

O'NEAL ANAZIDI KUMFAIDI DADA ETU FEZA MJENGONI, CHEKI ANAVOMLA DENDA WAZIWAZI AKATI ATA MAHARI AJATOA #ROHOINAUMA


Inabidi tumtoze faini, teh teh ....Sijui yule wake wa Tanzania  anajisikiaje akiona hii picha......lol