Taarifa ikufikie kwamba tayari Feza
ameshaondoka Tanzania na kwenda Botswana kwa mpenzi wake ambapo amepata
mapokezi makubwa ambapo kunatarajiwa kufanyika party ya chakula cha
jioni cha mastaa hao ambao watajumuika na watu wengine pia watakaolipa
kiingilio.
No comments:
Post a Comment